Msanii Rayuu Afunguka Sababu za Kutokufunga Mwezi Mtukufu

Rayuu

MSANII kutoka Bongo Muvi, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amefunguka kuwa ugonjwa wa vidonda vya tumbo unaomsumbua umemfanya ashindwe kufunga kama alivyokuwa akifanya miaka ya nyuma.

Akizungumza na 3 Tamu, Rayuu amedai kuwa anaumia sana kutotimiza nguzo hiyo muhimu ya dini yake na anafanya kila awezalo kuhakikisha anautibu ugonjwa huo ili siku zijazo aweze kufunga.

“Nimekuwa nikijaribu kufunga lakini kabla siku haijaisha vizuri, vidonda vinatibuka hatari hivyo najikuta nikifungulia njiani, naumia sana kwa hali hii kwani napenda kufunga ila ndo hivyo sina jinsi,” alisema Rayuu

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Baada ya Kumwagana na Ali Kiba,,Jokate Aaamua Kuweka Wazi Vigezo kwa Kidume Mwingine Anayemtaka..!!!

Mimi Mars Amkana Dada Ake Vanessa Mdee...Asema....